Kuyafanya Meno Yenye Rangi kuwa Meupe (Teeth Whitening)
Wakati wa muongo uliopita mahitaji ya kuboresha muonekano au kurembesha meno yameongezeka kwa kiwango kikubwa hasa katika nchi zilizoendelea. Hii imechochewa na kupatikana kemikali mpya za meno (dental...
View ArticleUnyongovu Waweza Kusababisha Magonjwa ya Moyo kwa Vijana
Katika tafiti mpya zilizofanywa hivi karibuni zinaonyesha kuwa unyongovu na jaribio la kujiua ni viashiria hatari ambavyo huleteleza vijana kufa kwa magonjwa ya moyo.Katika utafiti mkubwa uliohusisha...
View ArticleKuoza kwa Kasi kwa Meno Mengi kwa Watoto Wadogo (Rampant Caries in Children)
Tafsiri za maneno “rampant caries” ni nyingi katika fani ya meno lakini la msingi ni kuoza kwa meno kunako enea kwa kasi na kuharibu vichwa (crowns) vya meno mengi au yote yaliyoota. Hii ni hali mbaya...
View ArticleUpandikizaji wa seli za mfumo wa fahamu waweza kutibu kisukari
Watafiti nchini Japan wamegundua jinsi seli za mfumo wa fahamu zinavyoweza kutumika kama seli mbadala zinazofaa kupandikizwa kwenye seli kongosho ili kutibu kisukari. Ripoti ya utafiti huo ambayo...
View ArticleDawa za Usingizi Chanzo cha Saratani na Kifo
Utafiti uliofanywa nchini Marekani hivi karibuni umetoa matokeo ya kushangaza kwa kusema ya kwamba matumizi ya dawa za usingizi huongeza hatari ya kupata saratani pamoja na mtu kufa mapema. Utafiti huo...
View ArticleMachungwa, Zabibu Hupunguza Uwezekano wa Kupata Kiharusi
Utafiti mpya uliofanyika nchini Marekani umesema ya kwamba kula machungwa na zabibu kunaweza kupunguza uwezekano wa kupata kiharusi (Stroke).Utafiti huo uliangalia faida za matunda chachu (Citrus...
View ArticleJinsi ya Kuandaa Chakula cha Mtoto
Mtoto ale chakula muda gani?Chai ya asubuhi: Saa 12:00 mpaka 2:00 kutegemeana na ni muda gani mtoto anakwenda shule. Jambo la muhimu ni kuwa, mzazi/mlezi ahakikishe mtoto anakula asubuhi ili asiende...
View ArticleUnene Uliopitiliza (Obesity)
Tatizo la Unene Uliopitiliza (Obesity)Tatizo hili la unene uliopitiliza kuliko inavyohitajika kiafya huwa linaletwa na kuongezeka kwa kiwango cha mafuta mwilini. Njia rahisi na inayokubalika ya kuweza...
View ArticleMsongo wa mawazo kipindi cha ujauzito husababisha ulemavu kwa mtoto
Watafiti wa magonjwa wanadai kuwa msongo mkali wa mawazo wakati wa ujauzito unaweza kusababisha hitilafu katika uumbaji wa mtoto na hatimaye mtoto kuzaliwa akiwa mlemavu. Ripoti ya watafiti hao inazidi...
View ArticleKukosa Usingizi Husababisha Upungufu wa Homoni ya Testosterone
Mnamo mwaka 2007, watafiti nchini Marekani walifanikiwa kutoa ripoti inayojaribu kuhusisha ukosefu wa usingizi na upungufu wa homoni ya testosterone miongoni mwa wanaume watu wazima.Kwa kawaida kiwango...
View ArticleKorodani Bandia Kutengeneza Shahawa
Wanasayansi nchini Marekani wako mbioni kutengeneza korodani bandia (artificial testicle) zitakazokuwa zikitengeneza shahawa ili kusaidia wanaume wenye matatizo ya uzazi.Timu ya wanasayansi katika...
View ArticleDalili na Ishara za Ujauzito
Dalili za ujauzito hutofautiana kati ya mwanamke na mwanamke, ingawa kuchelewa au kukosa hedhi ni dalili moja muhimu sanaNi muhimu kuzitambua na kuzifahamu dalili hizi kwa sababu zinaweza kusaidia...
View ArticleKutoga Ulimi ama Mdomo
Katika zama hizi za utandawazi na muingiliano baina ya tamaduni zetu za asili na tamaduni za kimagharibi, imekuwa ni kawaida kwa vijana wa rika tofauti na jinsia zote kutoga ulimi, mdomo, kitovu ama...
View ArticleUpungufu wa Damu Kipindi cha Ujauzito
Upungufu wa damu (anaemia) hutafsiriwa kama kupungua kwa kiwango cha hemoglobin katika damu damu chini ya kiwango kinachokubalika kiafya. Kiwango cha kawaida cha haemoglobin (Hb) katika mwili wa...
View ArticleMaambukizi ya Fangasi katika Sehemu za Siri (v.Candidiasis)
Kati ya maambukizi yanayowasumbua wanawake wengi duniani ni maambukizi ya fangasi. Inakisiwa asilimia 75 ya wanawake wote duniani hupata maambukizi haya katika kipindi cha uhai wao.Maambukizi ya...
View ArticleTatizo la Kuota Matiti kwa Wanaume na Watoto (Gynecomastia)
Tatizo la kuota matiti kwa wanaume na watoto limekuwa kubwa sana katika dunia ya leo. Inawezekana kabisa wakati unatembea njiani ukaona wanaume au watoto wadogo wa kiume wakiwa na matiti makubwa ambapo...
View ArticleKusinyaa/Kuziba kwa mrija wa mkojo (Urethral stricture)
Mrija wa mkojo (urethra) ni kiungo muhimu kinachotoa mkojo nje ya mwili kutoka kwenye kibofu. Mrija huu unaposinyaa au kuziba hufanya utokaji wa mkojo kuwa wa mashaka na maumivu makubwa. Kusinyaa/...
View ArticleKuoza kwa meno (Dental Caries) ni ugonjwa wa kuambukiza
Miaka ya nyuma iliaminika kuwa ugonjwa wa kuoza kwa meno si wa kuambukiza; lakini tafiti nyingi zilizofanyika zimedhihirisha ni ugonjwa wa kuambukiza. Jino lililooza linaweza kuambukiza meno...
View ArticleMagonjwa ya Moyo ya Kuzaliwa (Congenital Heart Diseases)
Muundo ya moyo na mishipa ya damu ni mojawapo ya vinavyooathirika katika magonjwa ya moyo ya kuzaliwa nayo. Vijusi(fetuses) kati ya 8 hadi 10 huathirika kwa kila 1000.Magonjwa ya moyo ya kuzaliwa nayo...
View ArticleSababu za Watoto Wachanga Kulia Mara kwa Mara na Namna ya Kuwabembeleza
Ni kawaida kwa watoto kulia. Hata watoto wanaozaliwa na afya njema kabisa wanaweza kulia kwa jumla ya wastani wa kati ya saa moja mpaka matatu kwa siku. Kwa vile watoto hawawezi kujifanyia chochote wao...
View Article